Idadi ya watu Duniani yafikia bilioni 8 Ikiwa ni miaka 11 imepita tangu Dunia ilipofikisha watu bilioni 7. Kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) idadi ya watu Duniani imefikia bilioni 8, ikiwa watu bilioni 1 wameongezeka ndani ya miaka 11. Read more about Idadi ya watu Duniani yafikia bilioni 8