Waandamana kupinga mabadiliko tume ya uchaguzi Vyama vya upinzani na asasi za kiraia nchini Mexico wamejitokeza m mitaani kuandamana kupinga mabadiliko ya tume ya uchaguzi yanayokusudiwa kufanywa na Rais wa nchi hiyo Andres Manuel Lopez Obrador Read more about Waandamana kupinga mabadiliko tume ya uchaguzi