Biriani friday na Coca Cola.

Kampuni ya Coca Cola kwanza kupitia kampeni yake ya Biriani friday na Coka imedaiwa kuwawezesha vitendea kazi migahawa ya wajasiriamali zaidi ya hyamsini 50 ambao hujihusisha na kuandaa biriani kila ijumaa kwa mikoa ya Dar es Salaam,Morogoro,Tanga Mtwara,Zanzibar na Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS