Mto Ruaha Mkuu haujatiririsha maji miezi mitatu

Mto Ruaha Mkuu

Mhifadhi Mkuu wa hifadhi ya Ruaha Godwell Ole Meing'ataki amesema kwa takribani miezi mitatu mto Ruaha Mkuu ambao ni tegemeo kwa wanyama katika hifadhi ya taifa ya Ruaha ambayo ni ya pili Afrika Mashariki, haujatiririsha maji yake hali inayopelekeka wanyama kupata shida na wengine kufa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS