Vipande 11 vya meno ya Tembo vyakamatwa Kigoma

Askari wa Jeshi la Polisi Kigoma wakionesha vipande vya meno ya Tembo vilivyokamatwa

Vipande 11 vya meno ya tembo vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 10 vimekamatwa na polisi wakati vikisafirishwa kutoka wilayani Mpanda mkoani Katavi kwenda mkoani kigoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS