Askari wa Jeshi la Polisi Kigoma wakionesha vipande vya meno ya Tembo vilivyokamatwa
Vipande 11 vya meno ya tembo vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 10 vimekamatwa na polisi wakati vikisafirishwa kutoka wilayani Mpanda mkoani Katavi kwenda mkoani kigoma.