Waziri wa nchi, ofisi ya makamu wa rais (mazingira) Binilith Mahenge.
Vijana nchini Tanzania wametakiwa kushiriki kikamilifu katika suala la usafi wa mazingira kwa kuwa wao ndio wanauwezo mkubwa wa kuleta mabadiliko kwa kukataa uchafu katika maeneo wanayoishi.