Mwenyekiti wa wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki, alhaji Adam Kimbisa (kulia) akiwa na mmoja wa wawakilishi wa Tanzania katika bunge hilo Bi. Shyrose Bhanji.
Bajeti ya bunge la Afrika mashariki imesomwa hapo jana huku ikielezwa kuwa ni bajeti ya kuwanufaisha zaidi wana jumuiya ya Afrika mashariki.