Mgomo DIT waendelea kwa siku ya pili leo

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi nchini Tanzania Dkt Shukuru Jumanne Kawambwa.

Zaidi ya wanafunzi 3,402 wa Taasisi Teknolojia Dar es Salaam (DIT) wameendelea kugoma kufanya mitihani ya muhula wa mwisho wa mwaka wakishinikiza uongozi wa taasisi hiyo kuwaruhusu wenzao waliozuliliwa kufanya mitihani hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS