Baadhi ya wanachama wa klabu ya Yanga wakiwa katika moja ya mikutano ya klabu hiyo.
Wanachama wa klabu ya soka ya Yanga wanataraji kukutana kesho katika mkutano mkuu wa klabu hiyo utakaofanyika katika ukumbi wa bwalo la maofisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es salaam