Zari Hassan abadili dini

Zari akiwa na wanawe

Zarina Hassan, maarufu zaidi kama The Boss Lady kutoka nchini Uganda, amerejea tena katika vichwa vya habari, safari hii ikiwa ni kutokana na hatua yake ya kuamua kubadili dini na kuwa mkristo na kubatizwa rasmi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS