Serikali kuvutia zaidi uwekezaji sekta ya Bima
Serikali ya Tanzania imesema inaendelea kushawishi na kuzikaribisha taasisi za kimataifa zinazojishughulisha na utoaji wa Bima ili kuvutia zaidi uwekezaji na wawekezaji kuwa na moyo wa kuwekeza nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla.