Wilaya ya Handeni kutaifisha mbao za magendo

Waziri wa viwanda na biashara nchini Tanzania, Dkt Abdallah Kigoda.

Serikali wilayani Handeni imeagizwa kutaifisha mbao zote zilizokamatwa kwa wafanyabiashara, ili zitumike kutengenezea madawati kufuatia wilaya hiyo kukabiliwa na uhaba wa madawati zaidi ya 9980 na kusababisha idadi kubwa ya wanafunzi kukaa chini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS