Tanzania ina zaidi ya askari 2000 UN - Membe

Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa wa Tanzania, Bernard Camillius Membe.

Serikali ya Tanzania imesema mpaka kufikia Machi 2014 imeshapeleka askari 2,259 katika nchi mbalimbali za Afrika na Duniani katika kuusaidia Umoja wa Mataifa katika utatuzi wa migogoro na ulinzi wa amani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS