Cricket U20 TZ kuingia kambini Juni mwaka huu Wanamichezo vijana wa Cricket Tanzania. Chama cha cricket nchini Tanzania TCA kimetangaza mpango wa kuwaandalia ligi ndogo ya vijana wachezaji wa timu ya Taifa ili kuwapima uwezo kabla ya kwenda Zambia. Read more about Cricket U20 TZ kuingia kambini Juni mwaka huu