Watanzania watatu watajwa tuzo za AFRIMMA

Ben Pol | Lady Jay Dee

Tuzo za African Music Magazine, AFRIMMA zimetangaza wasanii watakaoshiriki katika kinyang'anyiro kwa mwaka huu, ambapo katika orodha ya 'nominees', yapo majina ya wasanii wa Tanzania ambao ni Diamond Platinumz, Ben Pol pamoja na Lady Jay Dee.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS