Wakazi Mwananyamala wahofia homa ya Dengue

Maeneo machafu na yenye maji yaliyotuama kama haya ni kivutio pamoja na mazalia mazuri ya mbu wanaoeneza homa ya Dengue.

Wakazi wanaoishi karibu na soko la Mapinduzi Mwananyamala jijini Dar es Salaam, wameelezea hofu ya uwezekano wa kuugua ugonjwa wa homa ya Dengu, kufuatia mazingira machafu katika soko hilo ambalo linatumiwa na idadi kubwa wakazi wa mwananyamala.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS