Waganga wa mikoa watakiwa kudhibiti mbu wa Dengue

Naibu waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii nchini Tanzania, Dkt Kebwe Stephen Kebwe.

Serikali ya Tanzania imewataka waganga wa mikoa na wilaya nchini kuongeza juhudi katika kusimia usafi wa mazingira ili kutokomeza mazalia ya mbu anayeeneza uogonjwa wa Dengue.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS