Miss Tanga 2014 yazinduliwa rasmi leo

(Kutoka kushoto) Regina Gwae, Msemaji wa Kamati ya Maandalizi Nice & Lovely Miss Tanga 2014, Brian Kelly kutoka Nice & Lovely pamoja na Happy Shame - Afisa Masoko EATV/EA Radio katika Mkutano na Waandishi wa Habari Leo.

Shindano la kumsaka mlimbwende wa Jiji la Tanga, Nice and Lovely Miss Tanga 2014 leo hii limezinduliwa rasmi Jijini Dar es Salaam, sambamba na kutambulishwa kwa zawadi kubwa kwa mshindi, Gari aina ya Totota Vits yenye thamani ya shilimgi milioni 10.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS