Dar yaonja joto nguvu ya walemavu

Baadhi ya watu wenye ulemavu wakiwa wamekaa katikati ya barabara za Uhuru na Kawawa na kusababisha adha ya usafiri katikati ya jiji.

Jamiii ya watu wenye ulemavu, jana wamefunga barabara za Uhuru na Kawawa jirani na ofisi za mkuu wa Dar es Salaam na kuzuia kabisa usafiri wa kuingia eneo la Kariakoo pamoja na ule wa kati ya Chang'ombe na Magomeni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS