Wanasiasa waeleze athari za IKIMWI - Jaji Mutungi

Msajili wa vyama vya siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi.

Wanasiasa nchini Tanzania wametakiwa kufahamu kuwa ni jukumu lao na ni sehemu ya wajibu wao wa kila siku kuhakikisha kuwa wanawaeleza wananchi kuhusiana na athari za janga la UKIMWI nchini ili kuonesha upana wa tatizo hilo na athari zake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS