Tanzania U15 yazidi kutesa Botswana Tanzania imeendelea kung’ara kwenye Michezo ya Afrika kwa Vijana (AYG) kwa upande wa mpira wa miguu kwa vijana wenye umri chini ya miaka 15 baada ya jana (Mei 25 mwaka huu) kuichapa Swaziland mabao 3-0. Read more about Tanzania U15 yazidi kutesa Botswana