Wagombea wote 41 wapenya Uchaguzi Simba

Dkt Damas Ndumbaro, Mwenyekiti kamati ya uchaguzi Simba

Kamati ya uchaguzi ya simba hii leo imetangaza orodha ya awali ya wagombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya klabu hiyo katika uchaguzi ambao utafanyika june 29 mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS