Watoto wa Mbwa sasa wajiita "Panya Road"

Mkuu wa polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna wa Polisi Suleiman Kova.

Kikundi cha wahalifu kinachojiita Panya Road ambacho zamani kilikuwa kikijiita Watoto wa Mbwa chenye maskani yake Ilala jijini Dar es Salaam, kimelalamikiwa na wakazi wa maeneo hayo kwa kuendesha vitendo vya uporaji na kujeruhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS