Jamii ipambane na ukatili kwa wazee - MACHIBYA

Mkuu wa mkoa wa Kiigoma Luten Kanal mstaafu Issa Machibya

Mkuu wa mkoa wa Kiigoma Luten Kanal mstaafu Issa Machibya amewataka wananchi kupinga vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa wazee, ambavyo vimekuwa vikifanyika katika jamii na kusababisha vifo na wengine kuwa ombaomba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS