Wabunge Afrika Mashariki wawezeshwe - Upinzani

Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Freeman Mbowe.

Kambi rasmi ya upinzani bungeni nchini Tanzania imeitaka serikali iwawezeshe wabunge wanaoiwakilisha Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki kwa kuwapa ofisi pamoja na kuwapatia vitendea kazi vitakavyowasaidia kutekeleza majukumu yao ya kila siku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS