Madereva Nyegezi wakimbia kupimwa ulevi

Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoani Mwanza Sunday Ibrahimu

Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani mkoani Mwanza, linawasaka Madereva zaidi ya 10 wanaoendesha magari ya mikoani na nje ya nchi waliokimbia kupimwa ulevi pamoja na macho katika kituo kikuu cha mabasi cha Nyegezi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS