Hakimu agoma kujitoa kesi ya Zumaridi
Mahakama ya Hakimu mkazi mkoa wa Mwanza imetupilia mbali maombi ya mawakili wa utetezi katika kesi namba 12 ya kufanya mkusanyiko usio halali inayomkabili Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi na wafuasi wake 83 kwa kudai sababu zilizoelezwa hazina mashiko wala sio za kisheria