Miaka miwili ya Rais Mwinyi, wadau wampongeza

Wakati Rais wa Zanzibar Dr Hussein Ali Mwinyi akitimiza miaka miwili madarakani wadau mbalimbali wamepongeza jitihada alizozifanya katika sekta mbalimbali ikiwemo masuala ya utalii pamoja na kukuza uchumi wa Zanzibar

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS