Peter: Ni kweli kulikuwa kuna ugomvi kati yetu

Peter, Paul na familia

Siku kadhaa baada ya taarifa juu ya ugomvi ndani ya kundi la P Square, ambao ulizua hofu ya kuvunjika kwake likiwa katika kilele cha mafanikio, Moja ya wasanii kutoka kundi hili, Peter Okoye amekiri kuwa ni kweli kulikuwa na ugomvi kati yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS