Peter: Ni kweli kulikuwa kuna ugomvi kati yetu
Siku kadhaa baada ya taarifa juu ya ugomvi ndani ya kundi la P Square, ambao ulizua hofu ya kuvunjika kwake likiwa katika kilele cha mafanikio, Moja ya wasanii kutoka kundi hili, Peter Okoye amekiri kuwa ni kweli kulikuwa na ugomvi kati yao.