Ringtone akutana na Madubuko Nigeria

Ringtone

Msanii wa muziki wa injili wa nchini Kenya, Ringtone kutoka katika ziara aliyoifanya huko Nigeria, ameweza kukutana na kiongozi wa kanisa la Revival Assembly la Pasta Anselm Madubuko, ambaye ni mume wa msanii Emmy Kosgei kutoka nchini Kenya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS