Watumishi wa MDH waagwa Dar

Miili ya watumishi wa MDH waliofariki kwenye ajali ya ndege Bukoba

Mamia ya waombolezaji hasa wafanyanyazi wa MDH  wamejitokeza katika (hafla) zoezi la utoaji wa heshima za mwisho kwa watumishi wa MDH walifariki dunia katika ajali ya ndege iliyotokea Novemba 6, 2022 Bukoba Mkoani Kagera. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS