Wafukua kaburi na kunyofoa moyo, ulimi na jicho
Watu wasiojulikana wamefukua mwili wa mwanamke Neema Mlomba mwenye umri wa miaka 26 na kunyofoa baadhi ya viungo vyake ikiwemo moyo katika Kijiji cha Luteba Halmashauri ya Busokelo wilayani Rungwe mkoani Mbeya