Samatta, Lumumba kupatanisha mahasimu katiba mpya
Jukwaa la katiba limemteua Jaji mkuu mstaafu Baranabas Samatta na mhadhiri na mwanaharakati maarufu Afrika Mashariki Prof Patrick Lumumba kuendesha jopo la upatanishi wa pande zinazopingana katika mchakato wa katiba mpya nchini Tanzania.