Waajiri wapewa angalizo juu ya Kemikali
Waajiri nchini Tanzania wametakiwa kutoa maelekezo sahihi kwa wafanyakazi wao juu ya matumizi ya Kemikali katika sehemu ya kazi sambamba na miongozo muhimu ili kuwalinda dhidi ya athari zinazoweza kujitokeza katika sehemu za kazi.