Wafanyakazi walalamikia ujira mdogo

Waziri wa kazi na ajira nchini Tanzania, Bi.Gaudensia Kabaka

Katika kuelekea sherehe za maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani, baadhi ya wafanyakazi kutoka katika sekta mbalimbali zilizo za serikali na zisizo za serikali nchini Tanzania wamelalamikia mishahara midogo isiyoendana na ukali wa maisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS