Wakili adai Sabaya ana tatizo la moyo

Wakili wa Upande wa utetezi katika kesi namba 2 inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya Wakili Helleni Mahuna  ameiambia Mahakama kuwa Sabaya ni mgonjwa na ana tatizo la moyo na kusisitiza kusikilizwa kwa kesi hiyo kwani imekaa muda mrefu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS