Zahanati iliyoanza kujengwa 2000 yakamilika 2022 Zahanati iliyojengwa kwa miaka 22 Wananchi wa Kijiji cha Nambogo Manispaa ya Sumbawanga, wameishukuru serikali ya awamu ya sita kwa kusaidia kukamilisha ujenzi wa zahanati yao iliyoanza kujengwa mwaka 2000 na kukamilika mwaka huu. Read more about Zahanati iliyoanza kujengwa 2000 yakamilika 2022