Serikali kuchunguza chanzo moto Mlima Kilimanjaro

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Serikali imesema kwamba inaendelea na uchunguzi ili kubaini chanzo hasa cha moto Mlima Kilimanjaro, ambao kwa sasa umedhibitiwa kwa kiasi kikubwa ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS