Wanawake Live wk13

Ndani ya Wanawake Live Jumanne hii ni mjadala juu ya mwenendo wa bunge la katiba huku wakinamama wakitoa rai ya wabunge wanawake kusimamia maswala ya msingi yahusuyo wanawake yaweze kuwemo katika katiba mpya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS