Nec yatangaza nafasi za wazi za udiwani na Ubunge

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imetangaza kuwepo kwa nafasi  ya Ubunge katika jimbo la Amani , Tanzania Zanzibar kutokana na kutokea kifo cha  aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Mussa Hassan (CCM) kilichotokea Oktoba 13, 2022, pamoja na nafasi za madiwani katika kata 12 Tanzania Bara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS