DC Mbeya atoa siku tano kwa wavamizi Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Dk. Rashid Chuachua Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Rashid Chuachua ametoa muda wa siku tano kwa wananchi waliovamia msitu wa Mlima Mbeya kuondoka mara moja kabla serikali haijachukua hatua za kisheria. Read more about DC Mbeya atoa siku tano kwa wavamizi