Maambukizi ya Kifua kikuu yaongezeka Duniani

Picha ya mgonjwa wa Kifua Kikuu

Ripoti mpya ya Shirika la Afya Ulimwenguni WHO, imebainisha kuongezeka kwa idadi ya watu walioambukizwa ugonjwa wa kifua kikuu, ikiwa ni pamoja na uwepo wa watu  wenye usugu wa dawa ukilinganisha na miaka iliyopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS