Arejesha mtoto anayedaiwa kumuiba 2020

 Baraka Masunzu (24), mzaliwa wa Kibondo mkoani Kigoma anayetuhumiwa kuiba mtoto wa bosi wake  mkoani Geita  tangu mwaka 2020 amemrudisha kwa wazazi wake baada ya miaka miwili akidai kuwa amemkuta mtoto huyo mkoani Tabora akiwa na mtu ambae hamjui  ndipo akaamua kumleta kwa wazazi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS