Mongella ataka wataalam wa maji wasibaki maofisini
Mkuu wa mkoa wa Arusha John Mongella, amewataka wataalam wanaosimamia miradi ya maji kuacha kukaa ofisini na badala yake kwenda katika maeneo wanayotekeleza miradi hiyo na kufanya tafiti za kutosha ili kuepuka kufanya kazi zisizokuwa na ubora pamoja na ufujaji wa fedha za serikali