Tunatokomeza udumavu,utapiamlo Dar-Rc Makalla

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla.

Mkoa wa Dar es Salaam umetekeleza Agizo la Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuhusu afua 14 za lishe alilotaka Kila manispaa kutumia mapato yake ya ndani kuhakikisha inatenga bajeti kutokomeza udumavu na utapiamlo Kwa watoto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS