Mwili wa mwanamke wakutwa tumboni mwa chatu

Mwanamke mmoja katika jimbo la Jambi nchini Indonesia ameuawa na kumezwa na chatu,   Jahrah,   anayeripotiwa kuwa na umri wa miaka 50, alikuwa ameelekea kazini katika shamba la mpira Jumapili asubuhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS