Bidhaa zenye thamani ya milioni 500 zateketea

Thamani ya bidhaa zilizoteketea kwa moto kwenye ghala lililopo kwenye bandari ya Tanga linalomilikiwa na Mamlaka ya mapato Tanzania  'TRA' mkoani humo kuhifadhia bidhaa  za magendo zilizokamatwa na  zilizoshindwa kulipiwa ushuru imejumlishwa na kufikia zaidi ya  milioni mia tano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS