Utalii kuzingatia utunzaji wa mazingira Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Eliamani Sedoyeka Serikali imehimiza shughuli za Utalii nchini kuzingatia utunzaji wa mazingira ili vivutio vilivyopo sasa vidumu kwa manufaa ya wakati huu na wakati ujao. Read more about Utalii kuzingatia utunzaji wa mazingira