Utalii kuzingatia utunzaji wa mazingira

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Eliamani Sedoyeka

Serikali imehimiza shughuli za Utalii nchini kuzingatia utunzaji wa mazingira ili vivutio vilivyopo sasa vidumu kwa manufaa ya wakati huu na wakati ujao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS