Nchi za Afrika kulitumia eneo huru la biashara
Umoja wa Afrika umetoa wito kwa nchi za Afrika kuimarisha kwa pamoja Mkataba wa Eneo la Biashara Huria la Bara la Afrika (AfCFTA) na uendelezaji wa viwanda katika bara hilo ili kutimiza matarajio muhimu ya maendeleo ya Afrika.