Wafugaji wahatarisha vyanzo vya maji Morogoro

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Albert Msando

Serikali Wilaya ya Morogoro imesema haitakubaliana na hatua ya wafugaji ambao wanaingiza mifugo yao kwenye vyanzo vya maji ambavyo vinatiririsha maji kwenye mto Ruvu unategemewa na wakazi zaidi ya milioni saba wa mikoa ya Morogoro, Pwani pamoja na Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS